Friday 5 January 2018

Casper Nyovest awa msanii pekee anayemiliki ndege ghali Afrika



Msanii kutoka Afrika Kusini Cassper Nyovest ametajwa kuwa msanii wa kwanza wa Rap/HipHop barani Afrika kumiliki ndege yake binafsi aina ya jet.

Cassper  siku za karibuni aliweza kufanya vyema katika sshow yake aalitoitoa nchini Afrika kusini baada ya kujaza uwanja  wa mpira na kumfanya kuwa msanii mwenye ushawishi mkubwa nchini humo.

0 comments:

Post a Comment