Ni mara ya kwanza katika
kipindi cha miaka 28, Tottenham Spurs wamepata ushindi katika uwanja wa
Stanford Bridge katika mechi ya ligi kuu dhidi ya Chelsea iliyopigwa
jana.
Licha ya Chelsea kutangulia kwa goli lililofungwa na Alvaro Morata, Spurs walisawazisha kupitia Christian Eriksen, na baadaye Delle Ali akifunga magoli mawili ya ushindi yaliyofanya matokeo ya jumla kuwa 3-1.
Kwa matokeo haya, yanafuta matumaini ya Chelsea ya kuingia nne bora kwenye msimamo wa ligi kuu kwani wanasalia na pointi 56 zikiwa zimebaki mechi chache ligi kumalizika.
Kwenye mechi nyingine zilizopigwa jana, Arsenal ilipata ushindi wa magoli 3-0 dhidi ya Stoke City.
Licha ya Chelsea kutangulia kwa goli lililofungwa na Alvaro Morata, Spurs walisawazisha kupitia Christian Eriksen, na baadaye Delle Ali akifunga magoli mawili ya ushindi yaliyofanya matokeo ya jumla kuwa 3-1.
Kwa matokeo haya, yanafuta matumaini ya Chelsea ya kuingia nne bora kwenye msimamo wa ligi kuu kwani wanasalia na pointi 56 zikiwa zimebaki mechi chache ligi kumalizika.
Kwenye mechi nyingine zilizopigwa jana, Arsenal ilipata ushindi wa magoli 3-0 dhidi ya Stoke City.
0 comments:
Post a Comment