Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza kuondoa Wagombea wake wa udiwani katika kata tano wilayani Arumeru mkoani Arusha.
“Tumeagiza wagombea, mawakala na viongozi wetu wote wajitoe kwenye mchakato wa kata 5 za Arumeru Mashariki Kuna utekajinyara, mashambulizi, ubabe na ushenzi Wananchi wanaonewa sana Wagombea na viongozi wanatekwa, mawakala wanaondolewa vituoni, kura zinapigwa pasipokuwepo mawakala.”

0 comments:
Post a Comment