Pop diva Mariah Carey anaamini kuwa Jay-Z’s na lebo ya Roc Nation inaweza kumrudisha katika chat ya mziki kama zamani.
Mwanamuziki huyo amejiunga na Roc Nation baada tu ya kuwa na uongozi mbaya uliosababisha anguko lake kama mwanamuziki huku meneja wake aliyemfuta kazi Stella Bulochnikov mwezi mmoja uliopita akidai kuwa ajawahi kusababisha anguko lake sema tu Mariah kaishiwa katika mziki.
0 comments:
Post a Comment