Kesi hiyo iliyopelekwa na mzazi mwenzie aliyeachana nae Norma Gibson ameiomba mahakama iwapo Tyrese atashindwa kuachana na tabia ya kumchapa mtoto wake ni bora atafutiwe shule maalum ya kumfundisha malezi bora ya mtoto.
Wednesday 22 November 2017
Tyrese akatazwa na mahakama kumchapa mtoto wake
Kesi hiyo iliyopelekwa na mzazi mwenzie aliyeachana nae Norma Gibson ameiomba mahakama iwapo Tyrese atashindwa kuachana na tabia ya kumchapa mtoto wake ni bora atafutiwe shule maalum ya kumfundisha malezi bora ya mtoto.
0 comments:
Post a Comment