Wiki chache zilizopita Banky W alifanyiwa upasuaji wa tatu katika maisha yake kwa ajili ya kutibu kansa ya ngozi ila kwa sasa anaendelea vizuri na mwenye afya njema.
Banky W ambaye aliripotiwa kuwa anapambana na ugonjwa wa kansa ya ngozi wiki chache zilizopita ameamua kufunga ndoa ya kimila iliyofanyika katika mji wa Lagos Nigeria. Sherehe hiyo ilipambwa kwa mavazi ya kimila.
0 comments:
Post a Comment