Monday 13 November 2017

Ronaldo aongeza mtoto katika familia yake

Mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid Cristiano Ronaldo ameongeza mtoto wa 4 katika familia yake. Wiki chache zilizopita alitangaza kuwa mtoto huyu ataitwa Alana Martina.
Hii ni picha ya Ronald na mchumba wake Georgina Rodriguez ambaye amejifungua salama mtoto wao wa kike.

0 comments:

Post a Comment