Mabondia waliopata tuzo hiyo inayojulikana kama Head of State Recommendation ni Fatuma Zarika, Rayton Okwiri, Maurice Okolla na James Onyango.
Wote hao tayari wameiwakilisha Kenya katika mapambano mengi ya kimataifa na kila mmoja akiwa tayari amegusa mkanda wa ubingwa wa WBO katika ngazi za Afrika Mashariki na Kati, Afrika na Duniani.
0 comments:
Post a Comment