aada tu ya moja ya show ya mwanamuziki Drake kumalizika katika moja ya kumbi kubwa Miami ,msanii kutoka nchini Nigeria Tekno miles anayetamba na kibao cha 'Go' alichukua video akimuonesha akiwa nawe siku hiyo na kuirusha kupitia Instagram yake na jambo hilo kuzua maneno juu ya msanii kufanya kollabo na Drake.
Msanii Drake ambaye ameshawahi kufanya mziki na moja ya wasanii nchini Nigeria Wizkid na kutoa kibao cha 'One Dance'' na 'Come closer' na kufanya kupendwa sana na mashabiki wa Wizkid nchini Nigeria.
0 comments:
Post a Comment