Rais Dk John Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa mkuu wa Mkoa wa
Kagera kufuatia vifo vya watu 11 waliofariki leo kwenye ajali ya gari
Kwenye taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Serikali ambayo imeelezea jinsi
Rais alivyoguswa na kusikitishwa na vifo hivyo, na kuwafariji wafiwa
katika kipindi hiki kigumu.
0 comments:
Post a Comment