Saturday 24 March 2018

Blac Chyna awavaa wanaomsema kutembea na "Kibenten"



Mwanamitindo maarufu asiwe ishiwa na vituko kutoka Marekani,Black Chayna amewajia juu watu wanaomsema juu ya kuwa katika mahusiano na mpenzi wake mwenye umri mdogo.

Utata ulizuka baada ya mwanadada huyo Blac Chyna mwenye umri wa miaka 29 alivyomuweka kupitia ukurasa wa Instagram (kibenten) wake YBN Almighty Jay mwenye umri wa miaka 18.


"Hakuna tatizo kuwa na mahusiano na mtu mwenye umri mdogo kikubwa awe anajielewa tu," alisikika Blac Chyna.

0 comments:

Post a Comment