Saturday 24 March 2018

FRENCH MONTANA KATIKA UZINDUZI YA HOSPITALI UGANDA



Staa wa muziki wa Hip Hop kutoka nchini Marekani frenchmontana anatarajia kufungua hospital nchini Uganda ambayo alitolea ahadi mwaka jana.


Msanii huyo ambaye kwasasa amejitolea sana katika kuhakikisha kuwa Huduma za Afya zinafika vijijini nchini Uganda ni kutokana na ushirikiano aliopewa kutoka kwenye moja ya kazi zake alizofanya kama nyimbo ya "unforgettable".


Kupitia ukurasa wake wa Tweeter aliandika kuwa .
" Ni naamini malengo yangu yametimia kwa nchi ya Uganda hivyo nitakwenda kwaajili ya ufunguzi wa hospitali.

0 comments:

Post a Comment