Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu, imesema Mahakama za Tanzania zilitenda haki na kukiuka pia kwa upande mwingine katika hukumu ya Babu Seya na Papii Kocha.
Mahakama imewaruhusu Babu Seya pamoja na Papii Kocha kuwasilisha hoja ya kuomba fidia kulingana na haki zao ziliokiukwa
Mfano wa haki iliyokiukwa ni kukaaa mahabusu kwa siku 4 bila kufahamishwa makosa yao lakini pia hawakuwa na wakili wa kuwatetea
Pia wawili hao waliomba kupimwa mkojo na damu ili kuthibitishwa kama waliwaingilia Watoto wale ambao upande wa Jamhuri ulidai waliambukizwa magonjwa ya zinaa lakini walikataliwa
Maombi hayo yanapaswa kuwasilishwa ndani ya kipindi cha siku 30
0 comments:
Post a Comment