Takriban watu 18 nchini Nigeria wameuawa na wengine 86 kujeruhiwa katika shambulizi lililofanywa na waasi wa Boko Haram
Waasi hao waliokuwa wakipambana na wanajeshi wa Serikali karibu na kaskazini mashariki mwa Maiduguri usiku wa kuamkia leo
Watu waliouawa wanatoka katika vijiji viwili vya Bale Shuwa na Bale Kura vilivyoko Maiduguri
Maiduguri mji mkuu wa jimbo la Borno ndiyo chimbuko la kundi hilo la waasi la Boko Haram lililoanza uasi miaka 9 iliyopita kaskazini mashariki mwa Nigeria.
0 comments:
Post a Comment