Mkurugenzi na muandaaji wa mashindano ya kumsaka miss Tanzania @basillamwanukuzi amewajibu wale wote wanaobeza zawadi ya gari aliyopatiwa Miss Tanzania 2018 Queen Elizabeth.
.
.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika kuwa watu waliokuwepo waliiona zawadi hiyo lakini kuna watu waliopanga kuchafua mashindano hayo na kuedit zawadi hiyo ili waonekane kama matapeli.
.
.
"Wanalazimisha tufanane......π€£π€£
Watu wazima ovyoo. Kuedit na kusambaza hakuondoi ukweli kua you were not serious. At presenting Miss Lake zone prize.
Pongezi kwa The Look company Limited πππππ," ameandika Basilla.
0 comments:
Post a Comment