Monday 10 September 2018

Filamu kutoka Nigeria kuuzwa Netflix



Kampuni kubwa ya kuuza na kutengeneza filamu kwa mara ya kwanza imeamua kuuza filamu iitwayo "Lions Heart" kutoka nchini Nigeria kupitia mtandao wake wa
#netflix.
.
.
Filamu hiyo ambayo ipo chini ya mwanadada Genieveve Nnaji imeoneshwa kwa Mara ya kwanza kupitia #TorontoInternationalFilmFestival.
.
.
Hii ni filamu ya aina yake iliyobeba vionjo vya komedi ndani yake wapo mastaa mbalimbali ambao ni #GenevieveNnaji, #NkemOwoh, #PeteEdochie and #OnyekaOnwenu.

0 comments:

Post a Comment