Sunday 2 September 2018

Bobi Wine afika salama nchini Marekani,aahidi kusema kilichomtokea


Mbunge wa Kyadondo East na mwanamuziki wa Dance Hall kutoka nchini Uganda Bobi Wine mapema Leo kupitia ukurasa wake wa Tweeter ameandika kuwa amefika salama nchini Marekani ambapo anatarajia kuendelea na matibabu zaidi.

Hata hivyo Bobi Wine ameandika kuwa muda ukifika ataeleza mambo yote yaliyomtokea kipindi anateswa.

0 comments:

Post a Comment