Mamlaka
nchini Kuwait zimelifunga duka moja la kuuza Samaki baada ya mmiliki wake
kubainika kuwalaghai wateja wake juu ya ubora wa Samaki wake - Sakata hili limeibuka baada ya Mwanamke mmoja kuweka video katika mtandao wa Facebook akitoa jicho bandia la Samaki aliyemnunua
0 comments:
Post a Comment