Tuesday 4 September 2018

DUKA LAFUNGWA BAADA YA MMILIKI WAKE KUWAWEKEA SAMAKI MACHO YA BANDIA ILI WAONEKANE ''FRESH''



Mamlaka nchini Kuwait zimelifunga duka moja la kuuza Samaki baada ya mmiliki wake kubainika kuwalaghai wateja wake juu ya ubora wa Samaki wake
-
Sakata hili limeibuka baada ya Mwanamke mmoja kuweka video katika mtandao wa Facebook akitoa jicho bandia la Samaki aliyemnunua

0 comments:

Post a Comment