Mbunge wa Kyadondo nchini Uganda Robert Kyagulanyi ‘Bobi Wine’
amesema licha ya kuwa bado ana hofu, kesho anarejea Uganda kutoka
Marekani alikoenda kupatiwa matibabu, amesema wasiwasi alionao hata
Waganda milioni 44 pia wanao na Uganda ndiko iliko familia yake na watu
wake hivyo lazima arudi.
0 comments:
Post a Comment