Monday 17 September 2018

Bobi Wine kurejea Uganda



Mbunge wa Kyadondo nchini Uganda Robert Kyagulanyi ‘Bobi Wine’ amesema licha ya kuwa bado ana hofu, kesho anarejea Uganda kutoka Marekani alikoenda kupatiwa matibabu, amesema wasiwasi alionao hata Waganda milioni 44 pia wanao na Uganda ndiko iliko familia yake na watu wake hivyo lazima arudi.

0 comments:

Post a Comment