Rais wa Ghana, Nana Akufo-Addo aongoza mamia ya waombolezaji kuupokea mwili wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa(UN), Kofi Annan uliowasili nchini humo ukitokea Jijini Geneva nchini Uswisi
-
Annan aliyewahi kutunukiwa Tuzo ya Amani ya Nobel(2001), alifariki Agosti 18 mwaka huu baada ya kuugua kwa muda mfupi
-
Annan aliongoza Umoja wa Mataifa kuanzia Januari 1997 hadi Desemba 2006
-
Aidha, aliwasili mkoani Mbeya(Tanzania) mwaka 2011 na kuitembelea taasisi ya ARI UYOLE inayojihusisha na masuala ya uboreshaji wa kilimo na utafiti katika nchi za Afrika
0 comments:
Post a Comment