Kupitia msemaji wake Ofono Opondo yautaka Muunganiko huo wa Ulaya kutatua matatizo yake kwanza na kuacha kuingilia masuala ya bara la Afrika
-
Yasema haitakubali Umoja wa Ulaya kuishurutisha kufanya masuala yasiyouhusu na kuwa Uganda ina mifumo yake ya kujitawala
-
Aidha, imesema kuwa uhasama wake na EU ni kutokana na kushindwa kuidhinisha ndoa za jinsia moja na uhusiano wake na nchi ya China
-
Kauli hizo zinakuja ikiwa ni baada ya EU kuitaka Serikali ya Museveni kuheshimu haki, demokrasia na Mihimili mingine ya Serikali ikiwemo Bunge
0 comments:
Post a Comment