Sunday 16 September 2018

RWANDA: ALIYEKUWA KIONGOZI WA UPINZANI ATOKA GEREZANI KWA MSAMAHA WA RAIS


Rais Paul Kagame ametumia uwezo wake Kikatiba kuwaachia huru wafungwa 2,000 waliokuwa wamefungwa kwa makosa kadhaa ya uhalifu
-
Miongoni mwa wafungwa hao ni Mwanamuziki, Kizito Mihigo aliyekuwa akihudumia kifungo cha miaka 10 na Kiongozi wa Upinzani, Victoire Ingabire aliyekuwa akihudumia kifungo cha miaka 15 tangu 2010
-
Bi. Ingabire alirudi kutoka jela nchini Uholanzi mwaka 2010 ili kushiriki katika uchaguzi wa urais lakini alikamatwa na kuzuiliwa kuwania urais
-
Aidha, ni Hutu aliyekuwa akihoji ni kwanini makumbusho ya mauaji ya halaiki nchini humo ya mwaka 1994 hayakuhusisha watu wa kabila la Hut

0 comments:

Post a Comment