Thursday 13 September 2018

Wikid nusura apelekwe mahakamani kisa matunzo ya mtoto



Ex Babymama wa msanii @wizkidayo,Binta Diallo amehairisha kupeleka jarada la kesi mahakamani linalohusu kutotoa matunzo kwa mtoto wao Junior.


Binta Diallo amehairisha kesi hiyo kutokana na kuombwa na watu wa karibu wa msanii huyo kutokana na kuharibu utaratibu wa kazi za msanii.
.
.
Hivi karibuni @wizkidayo aliandika kupitia ukurasa wake wa Tweeter kama atajenga shule pale malipo mazuri yatakayotoka katika brand take mpya ya Starboy.
.
. "So, I listened and accepted that deal and gave him a chance to do the right thing. That was 7 months ago and since then his lawyers keep telling my lawyers that they have not been able to reach their client or his management team. more receipts on the way,"

0 comments:

Post a Comment