Thursday 13 September 2018

MPAKA WA ETHIOPIA NA ERITREA WAFUNGULIWA TENA BAADA YA MIAKA 20 -


Hatua hii ni matunda ya makubaliano ya amani yaliyosainiwa na Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed na Rais wa Eritrea, Isaias Afwerki mwezi Julai 2018
-
Ethiopia imeahidi kuanza kuviondoa vikosi vyake katika mpaka wake na Eritrea
-
Mataifa hayo yaliingia kwenye mgogoro uliosababisha vita kati yao kuanzia mwaka 1998-2000. Vita hiyo ilisababisha baadhi ya familia kutengana

0 comments:

Post a Comment