Albamu hiyo yenye jumla ya ngoma tano ndani yake ikiwemo Decibels, Boomerang, Spy Candy, Bambi Too na Little Bit More.
Msanii huyo wa Marekani ambaye pia ana asili ya nchini Nigeria, amefanya hivyo ikiwa ni miezi tisa imepita tangu alipoachia albamu yake mpya iitwayo ‘The Chief’.
0 comments:
Post a Comment