Msanii wa Bongo Fleva Cyril Kamikazeamejibu tuhuma zinazomuhusu juu ya kuanika picha za mpenzi wake Feza Kessy zikionesha sehemu ya mwili wake kupitia mtandao wa kijamii.
Kamikaze
ameyasema hayo kupitia kipindi cha Enews kuwa haoni tatizo lolote la ile picha kwani ni picha ya kawaida
sana na haijaonyesha kiungo chochote cha Feza anachojua ni kwamba picha
ile inaonyesha sehemu kidogo ya matiti ya Feza ambapo ni sawa tu na
wanawake wanaovaa brazia kuyabusti maziwa yao ili yaonekane.
Hata hivyo Kamikaze amesema hawezi kumdhalilisha Feza kwani anamuheshimu sana na Feza ndo alipiga ile picha na kumtumia yeye na hata alipoipenda na kuamua kuipost katika mtandao wake wa instagram alimpigia Feza kumuambia kuwa anaipost na Feza alikubali bila wasiwasi
Kamikaze amemalizia kwa kusema kuna wasanii wengi wanapiga picha za utupu zaidi hata ya ile mbona watu hawashangai?anamalizia kwa kusema watu wanapaswa kufahama kwamba Feza ni msanii na anapaswa kupiga picha za aina ile ilimradi hayupo uchi.
Hata hivyo Kamikaze amesema hawezi kumdhalilisha Feza kwani anamuheshimu sana na Feza ndo alipiga ile picha na kumtumia yeye na hata alipoipenda na kuamua kuipost katika mtandao wake wa instagram alimpigia Feza kumuambia kuwa anaipost na Feza alikubali bila wasiwasi
Kamikaze amemalizia kwa kusema kuna wasanii wengi wanapiga picha za utupu zaidi hata ya ile mbona watu hawashangai?anamalizia kwa kusema watu wanapaswa kufahama kwamba Feza ni msanii na anapaswa kupiga picha za aina ile ilimradi hayupo uchi.
0 comments:
Post a Comment