Vinyozi wengi upendelea kunyoa watu tofauti hasa maarufu basi kijana marufu kutoka nchini Uingereza Ahmed Alsanawi ameshjinyakulia na imekuwa vigumu kutompata kwasababu ya
umaarufu wake katika kuwapendezesha watu hasa kwenye eneo la
kichwa,Jamaa huyo mwenye asili ya Kiarabu amekuwa maarufu kwasababu ya
uwezo wake wa matumizi mazuri ya mkono wake na ubunifu wake wa kutumia
mashine ya kunyolea na ndio sababu iliyo mpa umaarufu kwa kuwa mpaka
sasa ameshanyoa wachezaji wengi wanaocheza ligi kuu England.
Ahmed Alsanawi ameweka rekodi ya
kuwa kinyozi aliyewanyoa mastaa wengi wa soka nchini humo,Na baadhi ya
wanamichezo ni hawa hapa
.
0 comments:
Post a Comment