Mkurugenzi wa Bodi inayojishughulisha na viwango vya filamu nchini Kenya Ezekiel Mutua ameonesha kusikitishwa kwake juu ya kundi la muziki la Sauti sol kuachia video ya nyimbo yao ya Melanin ambaayo imekuwa na maudhui yasiyokuwa ya kikenya katika nyimbo hiyo waliomshirikisha msanii kutoka nchini Nigeria Patoranking.
Mr Mutua ametishia kufungua nyimbo hiyo ambayo inaonesha video zisizokuwa na maadili “Kenya’s moral policeman”Aliongeza kuwa atafikisha kesi hiyo kwa wataalamu wa viwango nchini humo hili kuliangalia kwa undani kama kuna jambo la kurekebishika juu ya nyimbo hiyo ya Sauti sol.
0 comments:
Post a Comment