Saturday 25 November 2017

Odinga andaa maombi maalum ya kuakumbuka waliopoteza maisha siku ya jumanne


NASA leader Raila Odinga addresses a rally at Uhuru Park on April 27, 2017.  Kiongozi mkuu wa muungano wa NASA  Raila Odinga leo amesma kuwa siku ya jumanne ambayo ndio itakuwa siku ya kumuapisha Rais Uhuru basi wao watakuwa wapo katika maombi ya kuwakumbuka wale ambao wamepoteza maisha yao siku ya uchaguzi na hata siku alivyowasili kutoka nchini Marekani. Maombi hayo ambayo yatafanyika katika viwanja vya  Uhuru Park jijini Nairobi  huku wakitaraji kuwa na wananchi kutoka pande tofauti nchini humo.Odinga aliongeza kwa kuwaomba polisi kutoingilia maombi yao kwani yatakuwa ni ya amani.

0 comments:

Post a Comment