Licha ya kung'atuka Mutko ambaye ni naibu waziri mkuu ambaye ndiye kiongozi mkuu wa chama cha mpira wa miguu nchini Urusi, alikuwa tayari amekamilisha maandalizi ya viwanja akiwa kiongozi wa kamati.
Kufuatia kujiuzulu kwake, majukumu ya kamati hiyo yanabaki mikononi mwa makamu wake ambaye ataiongoza hadi wakati wa mashindano Bw. Alexey Sorokin.
0 comments:
Post a Comment