Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imesema, pande hizo mbili zinaamini kuwa maendeleo ya makombora ya nyuklia ya Korea Kaskazini yamevunja azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, na kusisitiza kuwa inapaswa kuanzisha mchakato wa mazungumzo ya amani haraka iwezekanavyo.
Thursday 28 December 2017
Home
/
International news
/
Kimataifa
/
Russia yaitaka Marekani kutokuongeza mvutano kwenye peninsula ya Korea
Russia yaitaka Marekani kutokuongeza mvutano kwenye peninsula ya Korea
Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imesema, pande hizo mbili zinaamini kuwa maendeleo ya makombora ya nyuklia ya Korea Kaskazini yamevunja azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, na kusisitiza kuwa inapaswa kuanzisha mchakato wa mazungumzo ya amani haraka iwezekanavyo.
0 comments:
Post a Comment