Mwanamuziki mwenye miondoko ya rap kutoka nchini Marekani Snoop Dogg ambaye amekuwa kwenye
muziki Hip hop na RnB kwa takriban miaka 20.katika kipindi kijacho yaani mwaka 2018 anataka kutoa mziki mpya wenye miondoko ya Gospel.
Akizungumza na Billboard Snoop amesema: “Nimekuwa
nikitaka kujaribu kufanya muziki wa injili. Hii inaweza kushangaza watu
wengi lakini mbali na yote mimi napenda kusema niko tayari kwa ajili ya
maisha mapya ya muziki katika mwaka mpya wa 2018!”
0 comments:
Post a Comment