Tuesday, 19 December 2017

Wajumbe walioshinda Halmashauri kuu CCM (NEC)


Mkutano wa tisa wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ulifanyika jana jijini mji mkuu Dodoma ambapo umewatambua waliogombea nafasi za ujumbe kuwakilisha ndani ya Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) ambapo jumla ya wajumbe 15 kutoka Tanzania wamchaguliwa.

Miongoni mwa wajumbe hao waliopigiwa kura jana, Stephen Wasira ameongoza kwa ushindi baada ya kujikusanyia kura 1505 kati ya kura halali 1779.

Wajumbe 15 waliochaguliwa ni,

1. Steven Wassira
2. Jerry Silaa
3. Dr Fenera Mukangara
4. Angel Akilimali
5. Jackson Msome
6. Dr Ibrahim Msengi
7. Theresia Mtewele
8. Mwantumu Zodo
9. Ernest Sungura
10. Deougratius Ruta
11. Eng Burton Kihaka
12. William Sarakikya
13. Richard Charles
14. Anna Msuya
15. Charles Shanda

0 comments:

Post a Comment