Msanii wa muziki kutoka nchini Afrika kusini Casper Nyovest ameonekana nyumbani kwa Davido huku maswali mengi yakiwa kama wasanii hao wanatarajia kutengeneza ngoma mpya hivi karibuni.
Casper yupo nyumbani kwa Davido na katika video hii anaonekana akiwa anaingiza sauti katika studio ya nyumbani ya msanii Davido.
0 comments:
Post a Comment