Lakini katika mechi ya pili ya kundi hilo matekoe hayakuwa mazuri kwa vinara wa Afrika mashariki kwa sasa Uganda, kwani walifungwa na Zambia kwa magoli 3-1 kwenye uwanja wa Marrakech.
Michuano hiyo inaendelea leo kwa mechi mbili zitakazopigwa mjini Tangier ambapo wawakilishi wengine wa Afrika Mashariki, timu ya taifa ya Rwanda watashuka dimbani kucheza na Nigeria.
Na mechi ya pili itakuwa baina ya mabingwa wa michuano hiyo wa mwaka 2014, Libya amabao watacheza dhidi ya Equatorial Guinea.
0 comments:
Post a Comment