Shirika la kimataifa la
Uhamiaji IOM limetoa wito wa kutolewa msaada wenye thamani ya dola za
kimarekani milioni 103.7 kwa mwaka huu ili kutoa msaada wa kuokoa
maisha, kuunga mkono matibabu na uhamiaji wa watu wanaoathiriwa na
migogoro nchini Sudan Kusini.
IOM inasema mahitaji ya kibinadamu nchini Sudan Kusini bado ni makubwa, na hali inaendelea kuzorota licha ya juhudi za hivi karibuni za kukomesha vita vya wenyewe kwa wenyewe vilivyodumu kwa zaidi ya miaka minne nchini humo.
IOM imesema fedha hizo zitatumika kwa watu zaidi milioni 1 waliopoteza makazi, jamii zilizowapokea, na jamii za wakimbizi wenye nia ya kurudi nchini Sudan Kusini.
IOM inasema mahitaji ya kibinadamu nchini Sudan Kusini bado ni makubwa, na hali inaendelea kuzorota licha ya juhudi za hivi karibuni za kukomesha vita vya wenyewe kwa wenyewe vilivyodumu kwa zaidi ya miaka minne nchini humo.
IOM imesema fedha hizo zitatumika kwa watu zaidi milioni 1 waliopoteza makazi, jamii zilizowapokea, na jamii za wakimbizi wenye nia ya kurudi nchini Sudan Kusini.
0 comments:
Post a Comment