Ndege mbili za kivita za
Uingereza jana ziliruka kwa dharura ili kuzifuata ndege mbili za Russia
zilizokuwa zinaikaribia nchi hiyo, lakini tukio hilo lilimalizika baada
ya kuthibitisha kuwa ndege za kuangusha mabomu za Russia hazikuingia
kwenye anga ya Uingereza. Upande wa Russia haujatoa maoni yoyote kuhusu
tukio hilo.
0 comments:
Post a Comment