Mchezaji nyota wa Tennis Rafael
Nadal wa Hispania amefanikiwa kufuzu raundi ya tatu katika michuano ya
Australia baada ya kumfunga Leonardo Mayer wa Marekani kwa seti ya 3-0
yenye alama 6-3 6-1 na 7-6 mjini Melbourne.
Kutokana na umahiri wa Mayer, imemchukua saa 2 na dakika 38, Rafael
Nadal kushinda mechi hiyo ambayo licha ya matokeo kumbeba Nadal, Mayer
ndiye aliyeongoza kwa takwimu za awali.
Kwa ushindi huo, Rafael Nadal ambaye ni bingwa mara 17 wa michuano mikubwa ya tennis, anatarajiwa kukutana na Damir Dzumhur wa Bosnia siku ya ijumaa
Kwa ushindi huo, Rafael Nadal ambaye ni bingwa mara 17 wa michuano mikubwa ya tennis, anatarajiwa kukutana na Damir Dzumhur wa Bosnia siku ya ijumaa
0 comments:
Post a Comment