Wednesday 10 January 2018

Simbu kushiriki mashindano ya dunia nchini Hispania




Chama cha riadha nchini Tanzania RT kimethibitisha kuwa, nyota wa riadha Alphonce Felix Simu atajumuishwa  katika kikosi cha timu ya taifa kitakachokwenda kushiriki michuano ya jumuiya ya madola itakayofanyika mwezi April mwaka huu nchini Australia. Akizungumzia sababu, katibu mkuu wa RT, Wilhelm Gidabuday, amesema Simbu aliomba kwenda kushiriki mashindano makubwa ya dunia ambayo yanatarajiwa kufanyika nchini Hispania mwezi machi mwaka mjini Valencia.

0 comments:

Post a Comment