Shirikisho la mpira wa miguu
nchini TFF ,limetegua kitendawili kuwa mwamuzi gani atachezesha
mechi baina ya miamba ya soka ya nchini humo Azam fc na Yanga
itakayopigwa jumamosi ijayo mjini Dar es Salaam.
Mwamuzi wa kati atakuwa Isreal Nkongo, atakayesaidiwa washika
vibendera Josephat Bulali na Soud Lila, mwamuzi wa akiba atakuwa Elly
Sasii na Kamishna wa mchezo huo ni Omar Abdulkadir.
Yanga inazidiwa pointi tano na Azam FC inayoshika nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu, nyuma ya vinara, Simba SC wenye pointi 32.
Yanga inazidiwa pointi tano na Azam FC inayoshika nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu, nyuma ya vinara, Simba SC wenye pointi 32.
0 comments:
Post a Comment