Msemaji huyo ameongeza kuwa miili miwili ni ya wanawake, mmoja wao alikuwa mjamzito, na kwamba vifo vyao vinatokana na boti walizokuwa wakisafiria kujaa wahamiaji kupita kiasi.
Libya imekuwa nchi inayotumiwa na wahamiaji haramu kuvuka bahari ya Mediterranean kwenda Ulaya, kutokana na kukosekana kwa usalama nchini humo, baada ya kiongozi wa zamani wa nchi hiyo Muammar Gaddafi kuondolewa madarakani mwaka 2011.
0 comments:
Post a Comment