Wachezaji kutoka Marekani jana wameandika rekodi mbaya baada ya wengi kutolewa katika siku ya kwanza na katika mechi zao za kwanza za mashindano ya kimataifa yaliyoanza jana nchini Australia.
Wachezaji hao ni Venus Williams ambaye ni namba tano kwa viwango vya
ubora duniani akitolewa na Belinda Bencic wa Uswisi amabaye ni namba 74
kwa ubora duniani, mwingine ni Coco Vandewenge (10) aliyetolewa na Daria
Gavrilova wa Australia (23) na John Isner (13) aliyefungwa na Metthew
Ebden wa Afrika Kusini (78) duniani.
Wengine waliondolewa ni Irina Falconi, Sloane Stephens, Kevin King, na Sofia Kenin.
Michuano hiyo inaendelea leo kuanzia saa tano kwa saa Afrika Mashariki ambapo wamarekani wengine watajipima ubavu wakiwemo Donald Young, Francis Tiafoe na Brengle.
Wengine waliondolewa ni Irina Falconi, Sloane Stephens, Kevin King, na Sofia Kenin.
Michuano hiyo inaendelea leo kuanzia saa tano kwa saa Afrika Mashariki ambapo wamarekani wengine watajipima ubavu wakiwemo Donald Young, Francis Tiafoe na Brengle.
0 comments:
Post a Comment