Serikali ya Kifalme nchini Saudi Arabia imeamua kuondoa marufuku na kuwaruhusu Wanawake kuhudhuria viwanjani kutazama Mchezo wa Mpira wa Miguu.
Katazo hilo lililodumu zaidi ya miongo minne limekuwa faraja kwa wananchi nchi humo, vilevile
Wanawake nchini humo wameruhusiwa kuendesha Magari kuanzia mwezi Julai mwaka huu
Ukiwa ni Mkakati madhubuti katika kukuza usawa wa kijinsia kati ya Wanaume na Wanawake.
Wanawake nchini humo wameruhusiwa kuendesha Magari kuanzia mwezi Julai mwaka huu
Ukiwa ni Mkakati madhubuti katika kukuza usawa wa kijinsia kati ya Wanaume na Wanawake.
0 comments:
Post a Comment