Friday, 23 February 2018

Arsenal yaingia 16 bora.


Licha ya kupoteza mechi yake, Arsebal imefanikiwa kusonga mbele katika ligi ya klabu bingwa ulaya (UEFA Europe League) baada ya kukubali kichapo cha goli 2-1 toka kwa Ostersund fc ya Sweden. Arsenal imefuzu hatua ya 16 bora ya ligi hiyo kwa faida ya kufunga magoli mengi ugenini katika mchezo wa kwanza ambao ulimalizika kwa Arsenal kupata ushindi wa goli 3-0 hivyo wanafuzu kwa ushindi wa magoli 4-2.

0 comments:

Post a Comment