Makamu rais wa
Marekani, Mike Pence amegoma kuwepo katika chakula cha jioni ambacho
alitakiwa kukaa meza moja na kiongozi wa serikali ya Korea Kaskazini
Kim Yong-nam.
Taarifa kutoka chombo cha habari cha Yo hap kimesema
kuwa Pence alionana kidogo na bwana Kim wakati wakijaribu kukwepana
kuonana uso kwa uso.Wakati huo huo, rais wa Korea ya Kusini Moon Jae-in ameshikana mikono na dada yake kiongozi wa Korea kaskazini Kim Jong un katika sherehe za ufumbuzi wa mashindano ya michezo ya Olympiki ya msimu wa baridi.
0 comments:
Post a Comment