Katika hatua nyingine Korir amevunja rekodi ya kitaifa ya Kenya ya kutumia dakika 1 sekunde 44 nukta 71 iliyowekwa na Joseph Mwengi mwaka 2004.
Kori alilitimiza hilo aliposhinda ubingwa wa mbio za kimataifa za Marekani mjini New York.
Designed and Developed By Desy Ernest & Owned by News Chemba Inc
0 comments:
Post a Comment