Wanamichezo 32 kutoka Urusi
wamekata rufaa baada ya kutoruhusiwa kushiriki mashindano ya Olimpiki ya
majira ya baridi nchini Korea Kusini.
Miongoni mwao ni wale ambao walifunguliwa na Mahakama ya usuluhishi michezoni CAS kutoka vifungo vya maisha walivyokuwa wafungiwa kutokana na kashfa ya matumizi ya kuongeza nguvu iliyopigwa marufuku michezoni.
Kamati teule ya Olimpiki inakaa leo jumatano kujadili hatma yao ikiwa ni siku mbili tu zimesalia kuanza kwa mashindano hayo mjini PyeongChang.
Miongoni mwao ni wale ambao walifunguliwa na Mahakama ya usuluhishi michezoni CAS kutoka vifungo vya maisha walivyokuwa wafungiwa kutokana na kashfa ya matumizi ya kuongeza nguvu iliyopigwa marufuku michezoni.
Kamati teule ya Olimpiki inakaa leo jumatano kujadili hatma yao ikiwa ni siku mbili tu zimesalia kuanza kwa mashindano hayo mjini PyeongChang.
0 comments:
Post a Comment