Mzazi mwenza wa msanii Nsibu Abdul (Diamond Platnumz) Zarinah Hassan(Zari) ametangaza kuvunja rasmi
mahusiano yake ya kimapenzi na Staa huyo.
Amethibitisha hayo kupitia ukurasa wake Mtandao wa kijamii wa Instagaram, Zari amesema kilichompelekea kufanya hivyo ni kutokana na Diamond kutokuwa mwaminifu kwenye mahusiano
ikumbukwe kuwa Diamond na Zari wana watoto wawili ambao ni Tiffa na Nillan.
Amethibitisha hayo kupitia ukurasa wake Mtandao wa kijamii wa Instagaram, Zari amesema kilichompelekea kufanya hivyo ni kutokana na Diamond kutokuwa mwaminifu kwenye mahusiano
ikumbukwe kuwa Diamond na Zari wana watoto wawili ambao ni Tiffa na Nillan.
0 comments:
Post a Comment