Katika mchezo wa kwanza uliopigwa Uhipania, timu hizo zilitoka sare ya bila kufungana. Kwa matokeo hayo yanaiondosha rasmi Man U kwenye michuano hii na inakuwa ni timu ya kwanza toka England kutolewa mashindanoni.
Wednesday 14 March 2018
Manchester United 'OUT' UEFA champions ligi
Katika mchezo wa kwanza uliopigwa Uhipania, timu hizo zilitoka sare ya bila kufungana. Kwa matokeo hayo yanaiondosha rasmi Man U kwenye michuano hii na inakuwa ni timu ya kwanza toka England kutolewa mashindanoni.
0 comments:
Post a Comment