Ligi kuu ya Ugiriki jana
imetangazwa kusimamishwa kwa muda usiojulikana kufuatia vurugu
zilizotokea katika mchezo wa PAOK dhidi ya AEK Athens uliochezwa
Jumapili.
Sababu kubwa iliyofanya ligi hiyo kusimama ni kutokana narais wa
klabu ya PAOK, Ivan Savvidis kuingia uwanjani na bastola kupinga maamuzi
ya refa Giorgios kulikataa goli la timu yake lililofungwa dakika ya 90
ikisemekana kuwa ni offside lakini mchezo huo uliahirishwa masaa mawili
badaye baada ya wachezajiwa AEK kugoma kurudi uwanjani.
0 comments:
Post a Comment